Matukio ya Harusi ya Kijana wetu Mr Seif J.Bakari aliyemuoa Bi Amina Moses.
Hapa kijana akitafakari yatakayojiri kwenye ndoa, Ilikuwa muda mchache kabla ya kwenda kuoa. Akitolewa wasiwasi na kugwi wake. Mguu wa kheri kuelekea Masjid. Tukimkabidhisha Mke kijana kwa Imani ya Dini yake. Hapa tayari wameshaunganisha Familia. Mr Seif akiwa na Mkewe Bi.Amina Seif ana Pacha wake ambaye walioa siku moja anaitwa Ustadhi Abdallah. Hapa Ustadhi Dullah na Mke wake kipenzi baada ya ndoa. - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - MATUKIO MACHACHE YA SEND OFF. - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - Moja ya matukio ya Send off ya Bi Amina. Bwana Dullah(Pacha) wa Mr Seif alikuwa na furaha sana siku ya Send Off ya kaka yake,kulia mwenye tabasam ni Dr Lau kaka wa wadau. - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - - SHEREHE FUPI ZA MAHARUSI SARUJI CLUB ILIKUWA MBILI KWA MOJA SEIF NA AMINA NA - ABDALLAH NA MWANAISHA. - - - - - - - - - - - - - - - - - ...
Jamaa itakuwa ana mimawazo yake tu, ndio maana hata tangazo hakuona.
ReplyDeleteYeye karuhusiwa si ndio mlinzi wa hapo mahali, ndio mana shaka hana
ReplyDeletejamaa anawaza kupanda kitonga na yeye kazoea kushuka daru.
ReplyDeleteEbwana eeeeeh yani kitu kinyanyiko du lazima awaze na macho asione.
ReplyDelete