St. Nanihii hakuna adhabu kama hizi


Tuliosoma katika hizi shule zetu za mloganzila, miembe saba, mwanalugali tumekutana sana na adhabu hizi. Waliosoma St. Anton, St. Peter na St. nyingine hizi adhabu walizisikia kwenye bomba. Ila kuna mtu amezimis adhabu hizi.

Comments

  1. daa anzabu hizi kazoea kutoa kialingo

    ReplyDelete
  2. Siyo mwalimu Chaki? manake hawa walipewa na mwalimu Chaki. Camera ikawanasa, enzi hizo Digital camera nilikuwa nayo mimi tu hata ikulu walikuwa hawana, Nilitumiwa na Dr Msangi kipindi hicho akiwa Dokta wa Saddam Hussein Iraq.

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

Matukio ya Harusi ya Kijana wetu Mr Seif J.Bakari aliyemuoa Bi Amina Moses.

JAMAA ANAMSAKA OSAMA BIN LADEN