Posts

Showing posts from March, 2010

Wadau wa IFM ndani ya South Beach Kigamboni.

Image
Wadau wakipiga dua ya amani kwa jamii. Chamkwidi na Jamii. Mauzo 100% kaka Vijana waliuza sana na style hii Fatma na lufa wadau!! Farida na Mama lio Washikaji walikuwa walinzi wa amani Huu ndio ulikuwa upande wa timu ya wanaume Ilikuwa mechi kati ya wanaume na wanawake lakini Mdau aliamua kuwasaidia wanawake. Hongera kwa Upendo wako japo kuwa bado mlifungwa. Kaka mteremko au Kitonga Wadau wakijituma Raphael na Rafiki Yanga na Lufa Ibra na Mdau Mac lio J. Lufa Ankal Mama Lio Lily watoto na Mdau Shemeji na Shemeji Totoo na soda Kwa taarifa za uhakika zilizopatikana kutoka ndani ya Jamii husika Game itarudiwa kipindi kifupi kijacho wadau wanasema lazima ipigwe nyumbani na ugenini, walikosa kuhudhuria dhifa hii Assalam alekum, Miteremko ilikuwa hakuna wengi walikuwa Kitonga kwa mujibu wa wadau. Upepo ulitosha kwa asilimia 100 THE END.

St. Nanihii hakuna adhabu kama hizi

Image
Tuliosoma katika hizi shule zetu za mloganzila, miembe saba, mwanalugali tumekutana sana na adhabu hizi. Waliosoma St. Anton, St. Peter na St. nyingine hizi adhabu walizisikia kwenye bomba. Ila kuna mtu amezimis adhabu hizi.

POLE KWA MSIBA KAKA!!

Image
Pole kwa msiba kaka ila usijali ni kazi ya mungu, Tuko pamoja katika kipindi hiki kigumu kwako mungu akujalie wepesi.

TAZAMA KWA MAKINI!!

Image
Umegundua nini katika hii picha?

MDAU!!!!

Image
Mdau na Nondos yake mkononi!! Fatma mdau kutoka IFM akiwa amekamata nondos yake huku akitabasau kweli kweli. Hongera Mdau.

Star mwenyewe ni Matonyas

Image
Na kwa sasa anaoneka kwa muonekano huu akiwa pande zake za kujidais
Image
Hapa yupo mmoja kati ya mastaa wengi wa Bongo Fleva ambaye kwa sasa yuko juu kweli kweli.