Posts

Showing posts from May, 2010

Miss Dar Intercollege 2010

Image
Mshindi wa Miss Dar Intercollege ,Rose John kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii (kati) akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili,Cassiana Milinga kutoka chuo cha biashara CBE (kulia) na mshindi wa tatu Marylidya Boneface nae kutoka chuo cha Ustawi wa Jamii. Viwango hivyo ni kwa mujibu wa kamati ya Miss Tanzania. Ila Kamati maalum ya viwango vya asilimia tata 10 = 10, % 2 - 10, ilituma muwakilishi wake kwenye mashindano haya kwa hiyo atatupa taarifa zaidi na tutawajuza kama kutakuwa na tofauti ya viwango lakini ikiwa kimya kila kitu kita kuwa kimeenda kama kilivyokusudiwa. VICTOR a.k.a DJ SOCP DIZZO (Mwenye shati nyeupe na kitambulisho) Ndio alikuwa muwakilishi wa Lukoya.blogspot.com namuamini sana kwa viwango ndio maana nikamuomba aniwakilishe kwa Bra Hashim.

VIJANA NA CHAMA CHETU.

Image
Jakaya na vijana wetu wa CCM katika kiapo cha utii wa Chama Cha Mapinduzi. Taratibu Vijana wengine wameshaanza harakati za kutangaza nia mbalimbali katika uchaguzi wetu ujao kupitia Chama tawala, Tatizo JE nikufuata mkumbo au nikweli uwezo wanao?

Dogooooooooooooooooooooooooooo

Image
Aaah haya bwana naona una kitu mpiji dogo.

BADO NUSU SIKU KUFIKA MWISHO WA DUNIA

Image
Mwanamke mmoja nchini Marekani amefikishwa mahakamani kwa kufanya mapenzi na wanyama mbali mbali kama vile nguruwe, mbwa na punda na pia anakabiliwa na kesi ya kuwaambukiza wanyama magonjwa ya zinaa.

RAIS WA NIGERIA AFARIKI DUNIA: MHESHIMIWA HATUNAE TENA.

Image
Ukapumzike kwa amani Alhaji Umaru Yar'Adua